Janet Mumbi

FRANCIS AUMA AILAUMU SERIKALI KWA KUWAHANGAISHA WANAHARAKATI WANAOANDAA MAANDAMANO NCHINI

Afisa wa dharura katika shirika la kutetea haki za kibinadam la MUHURI Francis Auma, amelalamikia hatua ya serikali kuwahangaisha baadhi ya wanaharakati wanaofanya maandamano humu nchini akisema sio sahihi. Kulingana na Auma ni kuwa hatua ya wanaharakati kuandaa maandamano kutokana na kuwepo kwa gharama ya juu ya vyakula, ni haki yao kwa mujibu wa sheria […]

FRANCIS AUMA AILAUMU SERIKALI KWA KUWAHANGAISHA WANAHARAKATI WANAOANDAA MAANDAMANO NCHINI Read More »

ASKOFU MARTIN KIVUVA AITAKA JAMII KAUNTI YA MOMBASA NA PWANI KWA JUMLA KUSHIRIKIANA

Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Mombasa, Martin Kivuva ameitaka jamii kaunti ya Mombasa na Pwani kwa jumla, kushirikiana katika kuhakikisha kuwa usalama unadumishwa katika jamii. Akizungumza na wanahabari katika kaunti ya Mombasa, kiongozi huyo wadini amesema kuwa licha ya jukumu la usalama kupewa maafisa wa polisi, jamii pia inapaswa kushirikiana katika kuwafichua wahalifu

ASKOFU MARTIN KIVUVA AITAKA JAMII KAUNTI YA MOMBASA NA PWANI KWA JUMLA KUSHIRIKIANA Read More »

NAIBU WA RAIS ASEMA ATAWATAJA WALIOPORA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24

Naibu wa rais Rigathi Gachagua sasa anasema atawataja watu anaosema walipora zaidi ya shilingi bilioni 24, miezi mitatu kabla ya mwisho wa utawala wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Gachagua aliyezungumza eneo la Roysambu jijini Nairobi alidai kuwa hali ngumu ya kiuchumi inashuhudiwa sasa nchini inatokana na uporaji huo, anaodai ulifanyika na baadhi ya mawaziri na

NAIBU WA RAIS ASEMA ATAWATAJA WALIOPORA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 24 Read More »