Janet Mumbi

JAMII KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKABILI VISA VYA DULUMA ZA KIJAMII

Jamii kaunti ya Kilifi na eneo la Pwani kwa jumla imetakiwa kutokubali dhumula za aina yoyote katika jamii na badala yake kusisitiza suala la haki na usawa kwa kila mwananchi. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa shirika la AIDS SERVICES KENYA, Betty Mwacheda ambaye amesema wananchi wanapaswa kuhakikisha wanafahamu haki zao kikatiba na kuwashtaki […]

JAMII KAUNTI YA KILIFI YATAKIWA KUKABILI VISA VYA DULUMA ZA KIJAMII Read More »

MUHURI YATOA WITO KWA ASASI ZA USALAMA KUKABILI VISA VYA UHALIFU KAUNTI YA MOMBASA

Afisa wa dharura katika shirika la kutetea haki za kibindamu la MUHURI kaunti ya Mombasa Francis Auma amesema kuna ongezeko la visa vya uhalifu hasa katikati mwa mji huo wa Mombasa. Kulingana na Auma maeneo ya Mwembe Tayari, barabara ya Nkrumah, barabara ya Moi na maeneo ya Posta kuwa miongoni mwa yale ambayo yamejaa visa

MUHURI YATOA WITO KWA ASASI ZA USALAMA KUKABILI VISA VYA UHALIFU KAUNTI YA MOMBASA Read More »

MAHAKAMA YA MALINDI YABATILISHA USHINDI WA MBUNGE WA MAGARINI

Mahakama kuu ya Malindi kaunti ya Kilifi imebatilisha ushindi wa mbunge wa Magarini Harrison Gharama Kombe. Akitoa uamuzi huwo jaji wa mahakama hiyo Alfred Mabeya, amesema uchaguzi wa wadhifa wa ubunge eneo Hilo la Magarini, ulikumbwa na udanganyifu mwingi wakati wa kuhesabiwa kwa kura na hata kabla ya kutangazwa kwa ushindi wa Kombe. Aidha, Mahakama

MAHAKAMA YA MALINDI YABATILISHA USHINDI WA MBUNGE WA MAGARINI Read More »