WALINIONDOKEA NIKAYUMBA – PETER MOLE MKUFUNZI WA BEACH BAY
Mkufunzi wa ligi ya daraja la pili kitaifa Peter Ponda anayekiongoza kikosi cha Beach Bay anasema sababu kubwa ya kufanya klabu hiyo kuandikisha matokeo duni msimu huu ni kutokana na baadhi ya wachezaji tegemezi kujiondoa kikosini hapo. Baadhi wa wachezaji anaowakosa ni pamoja na Amani Kiponda aliyehamia klabu ya Mombasa Omax FC ambayo pia yacheza […]
WALINIONDOKEA NIKAYUMBA – PETER MOLE MKUFUNZI WA BEACH BAY Read More »



