UMOJA WETU NDIO NGUVU YETU MSIMU HUU
Mkufunzi wa klabu ya Samburu Lions Alex Badizo anasema kwamba umoja wa wachezaji wake pamoja na motisha wao katika mazoezi ndio jambo linalochangia klabu hiyo kuandikisha matokeo mazuri msimu huu katika ligi ya daraja la pili kitaifa. Simba hao wa samburu kutoka kaunti yak wale wamesajili alama 11 kati ya 15 kwenye mechi tano zilizopita […]
UMOJA WETU NDIO NGUVU YETU MSIMU HUU Read More »



