Paps Mkare

Youth And The Church

Many parents, guardians and church leaders seem to wonder how to effectively ensure durable faith in the lives of young people in our today’s society. Research has shown that many young adults were regular church goers growing up as kids and a disconnect happened after the age of 15-18 there about. I love the youth

Youth And The Church Read More »

SUPKEM YAITAKA SERIKALI KUU KUPIGA MARUFUKU MASHIRIKA YANAYOFADHILIWA NA MATAIFA YA NJE

Baraza kuu la waslamu nchini SUPKEM limeitaka serikali kupiga marufuku mashirika yasiokuwa ya kiserikali yanayofadhiliwa na mataifa ya Ulaya kuunga mkono mapenzi ya watu wa jinsia moja. Wakiongozwa na sheikh Badru Khamis Baraza hilo pia linaitaka serikali kuhakikisha linalinda wananchi dhidi ya kushirikishwa katika mila na tamaduni za mataifa ya Ulaya hasa mila zinazokinzana na

SUPKEM YAITAKA SERIKALI KUU KUPIGA MARUFUKU MASHIRIKA YANAYOFADHILIWA NA MATAIFA YA NJE Read More »