Janet Mumbi

WAKEREKETWA WA HAKI ZA KIBINADAMU WAMTAKA RAIS RUTO KUPUNGUZA BEI ZA BIDHAA

Wakereketwa wa maswala ya kijamii wamemtaka rais William Samoei Ruto kupunguza bei za bidhaa kwa kushusha ada na kodi zinazotozwa kwa bidhaa na huduma za kimsingi kama kawi, mafuta na vyakula. Wakereketwa hao kutoka shirika la kutetea haki za kibinadamu la MUHURI, wakiongozwa na Francis Auma ambaye ni afisa wa dharura katika shirika hilo wamekosoa […]

WAKEREKETWA WA HAKI ZA KIBINADAMU WAMTAKA RAIS RUTO KUPUNGUZA BEI ZA BIDHAA Read More »

WAPEMBA ELFU 7 KUSAJILIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA

Zoezi la kuwasajili wapemba kama kabila la 47 nchini Kenya limeanza katika kaunti ya Kilifi. Zaidi ya wapemba 7,000 wanatazamiwa kusajiliwa kupata vitambulisho katika kipindi cha mwezi mmoja. Katibu wa uhamiaji na huduma za umma nchini Julius Bitok amesema zoezi hilo la Kuwasajili Wapemba litafanyika kwa mwezi mmoja katika kaunti za Mombasa, Kilifi na Kwale

WAPEMBA ELFU 7 KUSAJILIWA KUPATA VITAMBULISHO VYA KITAIFA Read More »