HAALAND AWEKA HISTORIA MANCITY IKIIADHIBU RB LEIPZIG KLABU BINGWA ULAYA
Baada ya mshambuliaji wa Manchester City, Erling Braut Haaland kufunga mabao 5 hapo jana kwenye ushindi wa mabao 7-0, ushindi walioupata Man City dhidi ya RB Leipzing kwenye mchezo wa klabu bingwa Ulaya, mshambuliaji huyo raia wa Norway amekuwa mchezaji wa tatu kufunga mabao 5, kwenye mchezo mmoja wa ligi ya mabingwa Ulaya na anaungana […]
HAALAND AWEKA HISTORIA MANCITY IKIIADHIBU RB LEIPZIG KLABU BINGWA ULAYA Read More »



