Janet Mumbi

WANAFUNZI 600 WADI YA GONGONI WANUFAIKA NA FEDHA ZA UFADHILI WA MASOMO

Jumla ya wanafunzi 600 katika wadi ya Gongoni eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi wamenufaika na kima cha shilingi milioni 4.8, fedha za ufadhili wa masomo kutoka kwa hazina ya ufadhili wa masomo ya wanafunzi wa kaunti ya Kilifi. Kulingana na mwenyekiti wa kamati ya ugavi wa basari katika wadi hiyo David Mwanyule, idadi […]

WANAFUNZI 600 WADI YA GONGONI WANUFAIKA NA FEDHA ZA UFADHILI WA MASOMO Read More »