Janet Mumbi

MIZOZO MINGI YA UMILIKI WA ARDHI YA UMMA HUTOKANA NA WALIOKUWA WAMESAJILIWA KUAGA DUNIA AU HATA KUZEEKA

Mwenyekiti wa mashirika ya kijamii kanda ya Pwani Zedekiah Adika amesema mizozo mingi ya umiliki wa ardhi ya umma hutokea kutokana na waliokuwa wamesajiliwa mwanzoni kama wenyeji kufariki au hata kuzeeka. Akizungumza na LULU FM, Adika amesema baadhi ya watu hutaka kumiliki ardhi hizo na hata kuchukua hatua ya kuziuza pasipo kuwahusisha wakazi wengine katika […]

MIZOZO MINGI YA UMILIKI WA ARDHI YA UMMA HUTOKANA NA WALIOKUWA WAMESAJILIWA KUAGA DUNIA AU HATA KUZEEKA Read More »

TUTACHEZA KADRI YA UWEZO WETU, ASEMA JERGEN KLOPP

Mkufunzi Jergen Klopp anayekiongoza kikosi cha Liverpool amesema kwamba watajaribu uwezo wao kuandikisha historia katika mechi ya usiku wa leo kwenye klabu bingwa ulaya vijana wake watakapokuwa wanachuana na Real Madrid katika dimba la Santiago Bernabou. Mkufunzi huyo anasema kwamba licha ya kuonekana kwamba tayari huenda wakawa wameagana na mashindano hayo baada ya kipigo cha

TUTACHEZA KADRI YA UWEZO WETU, ASEMA JERGEN KLOPP Read More »

UTEUZI WA WACHEZAJI WA KYISA KUFANYIKA MALINDI NA MAGARINI

Uteuzi wa wachezaji watakaowakilisha kaunti ya kilifi katika mashindano ya kitaifa ya Kenya Youth Inter County sports yatakayofanyika kaunti ya Tharaka Nithi mwezi april mwaka huu unaendelea na wikendi ijayo uteuzi huo utafanyika katika eneo bunge la Malindi uwanjani Alaskan, lakini pia eneo bunge la Magarini. Naftal Owino ambaye afisa mkuu wa michezo na talanta

UTEUZI WA WACHEZAJI WA KYISA KUFANYIKA MALINDI NA MAGARINI Read More »