Janet Mumbi

MRADI WA SAN MARKO ULIOKO NGOMENI KAUNTI YA KILIFI KUBORESHA UHUSIANO MWEMA BAINA YA KENYA NA ITALIA

Serikali kuu imesema ipo haja ya wakenya kunufaika na mradi wa serikali ya Italia wa San Marko, ulioko katika eneo la Ngomeni eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Kulingana na Waziri wa ulinzi nchini Aden Duale, licha ya mradi huo kuboresha uhusiano kati ya mataifa hayo mawili, juhudi zaidi zinapaswa kuwekwa ili kuhakikisha wanafunzi […]

MRADI WA SAN MARKO ULIOKO NGOMENI KAUNTI YA KILIFI KUBORESHA UHUSIANO MWEMA BAINA YA KENYA NA ITALIA Read More »

KELLO HARSAMA NA GAVANA ISSA ABDALL TIMAMY WAZINDUA MBEGU MPYA ZA KOROSHO

Taasisi ya utafiti wa kilimo na ufugaji KALRO imezindua aina mpya ya mbegu za Korosho ambazo zina uwezo wa kutoa mazao mengi ikilinganishwa na mbegu za kawaida. Aina hizo nne ni pamoja na K-Korosho 75, 81, 82 na K-Korosho 100. Kulingana na KALRO, mbegu hizi mpya zina uwezo wa kustahimili kiangazi na pia mmea wake

KELLO HARSAMA NA GAVANA ISSA ABDALL TIMAMY WAZINDUA MBEGU MPYA ZA KOROSHO Read More »