HISIA MBALIMBALI ZAENDELEA KUTOLEWA NA VIONGOZI WA KIDINI MJINI MALINDI KUHUSU MAANDAMANO
Baadhi ya viongozi wa kidini mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamepinga maandamano ambayo muungano wa Azimio la Umoja One Kenya unapania kuandaa siku ya Jumatatu wiki ijayo, ili kupinga uongozi wa rais William Samoei Ruto. Wakiongozwa na Askofu wa kanisa la JCC Malindi kaunti ya Kilifi Thomas Tsuma Kakhala, ametoa wito kwa viongozi hao kutafuta […]



