Janet Mumbi

MKUTANO WA MAOMBI KUANDALIWA KESHO KWENYE UWANJA WA ALASKAN MJINI MALINDI

Himizo linaendelea kutolewa kwa vijana kaunti ya Kilifi na nchini Kote kuzidi kumtumikia mwenyezi Mungu na pia kuhudhuria ibada kanisani ili kuepukana na mambo ambayo, huenda yakawashawishi kupotoka kimaadili. Akizungumza na Lulu Fm Mchungaji wa kanisa la Life Church International Malindi kaunti ya Kilifi Daniel Nga’ang’a, maarufu kama Danny Gift amesema vijana wengi hawaendi kanisani […]

MKUTANO WA MAOMBI KUANDALIWA KESHO KWENYE UWANJA WA ALASKAN MJINI MALINDI Read More »

WENYEJI WA MTAA WA OWINO UHURU KAUNTI YA MOMBASA WAENDELEA KUDAI HAKI YAO

Wenyeji wa mtaa wa Owino Uhuru eneo bunge al Jomvu kaunti ya Mombasa wamesema wataendelea kukita kambi nje ya majengo ya mahakama ya Rufaa mjini humo wakisema hawataondoka hadi kesi yao itakapoamuliwa na waathiriwa kufidiwa. Hii ni licha ya mahakama hiyo ya Rufaa kuhairisha tarehe ya kutoa uamuzi dhidi ya fidia ya shilingi bilioni 1.3

WENYEJI WA MTAA WA OWINO UHURU KAUNTI YA MOMBASA WAENDELEA KUDAI HAKI YAO Read More »

UONGOZI WA KAUNTI YA TAITA TAVETA WALAUMIWA

Makundi ya wachimba madini wadogowadogo eneo la Kishushe kaunti ya Taita Taveta wameushutumu uongozi wa kaunti hiyo kwa kile walichosema kuwa uongozi husika umekataa kuwawakea sahihi katika stakabadhi zao ili waweze kuchimba madini. Wamesema kuwa kwa muda mrefu sasa wamekosa kunufaika kupitia raslimali ya madini katika eneo hilo kutokana na sababu zisizokuwa na msingi. Wachimba

UONGOZI WA KAUNTI YA TAITA TAVETA WALAUMIWA Read More »