FIKIRINI JACOBS ATEULIWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI
Kiongozi wa vijana katika chama cha ODM kaunti ya Kilifi, Fikirini Jacobs ameteuliwa na serikali ya kaunti ya Kilifi, katika nafasi ya mkurugenzi wa kitengo cha kuangazia utekelezwaji wa miradi ya serikali ya kaunti hii ya Kilifi. Akizungumza wakati uteuzi huo gavana wa kaunti ya Kilifi, Gideon Maitha Mung’aro amesema kuwa bado wataendeleza uteuzi wa […]
FIKIRINI JACOBS ATEULIWA NA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI Read More »



