Paps Mkare

JAPAN YAIZAMISHA UJERUMANI QATAR KWENYE MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA

Mashindano ya kombe la dunia yanazidi kushangaza wengi na ukistaajabu ya Argentina kupigwa na Saudi Arabia jana meche nyingine ni ya leo ya Ujerumani na Japan ambayo imetamatika kwa Ujerumani kutandikwa kichapo cha mabao 2-1 na Japan mtanange ambao umechezwa katika dimba la Khalifa stadium katikati mwa jiji la doha. Ikay Gundogan yule wa Manchester […]

JAPAN YAIZAMISHA UJERUMANI QATAR KWENYE MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA Read More »

BAADHI YA VIONGOZI KAUNTI YA KILIFI WATOA WITO KWA WAZAZI KUWA KARIBU NA WATOTO WAO WA KIKE

Viongozi wa kisiasa kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa wazazi kaunti ya Kilifi kuchukua jukumu la kuzungumza na watoto wao wa kike kuhusiana na athari za kushiriki ngono wakiwa na umri. Wakiongozwa na Naibu gavana wa kaunti ya Kilifi Magret Chibule, pamoja na Mwakilishi wa kike kaunti ya Kilifi Getrude Mbeyu, ambao walikuwa wakizungumza katika

BAADHI YA VIONGOZI KAUNTI YA KILIFI WATOA WITO KWA WAZAZI KUWA KARIBU NA WATOTO WAO WA KIKE Read More »