Janet Mumbi

MAENEO BUNGE YA KILIFI KASKAZINI NA KILIFI KUSINI MIONGONI MWA YANAYOKUMBWA NA USKWOTA

Jaji mkuu wa Mahakama ya Ardhi na Mazingira Dkt. Millicent Odeny amesema maeneo bunge ya Kilifi Kaskazini na Kilifi Kusini kaunti ya Kilifi ni miongoni mwa yale yanayokumbwa na uskwota kaunti ya Kilifi. Akizungumza katika kikao na wanahabari mjini Kilifi kaunti ya Kilifi Odeny amesema wakati umefika kwa serikali ya kaunti ya Kilifi kushughulikia swala […]

MAENEO BUNGE YA KILIFI KASKAZINI NA KILIFI KUSINI MIONGONI MWA YANAYOKUMBWA NA USKWOTA Read More »

SAUDI ARABIA NI SIKUKUU BAADA YA KUISHINDA ARGENTINA 2-1, GIROUD KUFIKIRIA REKODI YA HENRY

Leo ni siku kuu katika taifa la Saudia Arabia kufuatia tangazo la jana la mfalme wa taifa hilo Salman kusema wananchi wanapasa kusherehekea ushindi wa timu yao ya taifa walipoichana timu ya taifa ya Argentina katika mechi yao ya ufunguzi kwenye mashindano yanayoendelea katika taifa la Qatar. Saudi Arabia iliitandika Argentina kichapo cha mabao 2-1

SAUDI ARABIA NI SIKUKUU BAADA YA KUISHINDA ARGENTINA 2-1, GIROUD KUFIKIRIA REKODI YA HENRY Read More »