Janet Mumbi

WAHUDUMU WA AFYA WA NYANJANI KAUNTI YA KILIFI WALALAMIKA

Wahudumu wa afya wa nyanjani kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa Serikali ya kaunti ya Kilifi na idara ya afya kwa jumla kuwatambua katika utendakazi wao wanaofanyia jamii. Wakiongozwa na Michael Ruwa almaarufu Kadzaya Wanadai kutotambuliwa na serikali ya kaunti ya Kilifi pamoja na wahudumu wa afya katika hospitali za kaunti ya Kilifi hususan hospitali […]

WAHUDUMU WA AFYA WA NYANJANI KAUNTI YA KILIFI WALALAMIKA Read More »

DANSON MWASHAKO ADAI WENYEJI WA WUNDANYI HAWAJAKUWA WAKINUFAIKA NA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI MADINI

Mbunge wa Wundanyi kaunti ya Taita Taveta Danson Mwashako amesema wenyeji wa kaunti hiyo hawajakuwa wakinufaika na shughuli za uchimbaji madini ambazo zinaendelezwa na mwekezaji mmoja wa kibinafsi. Mwashako anadai mwekezaji huyo amekiuka sheria za uchimbaji madini kwani amekuwa akikwepa kutoa asilimia ya mgao wa fedha kwa wenyeji kutokana na madini hayo. Aidha, amesema licha

DANSON MWASHAKO ADAI WENYEJI WA WUNDANYI HAWAJAKUWA WAKINUFAIKA NA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI MADINI Read More »

MADAI YAIBULIWA VIJANA WA PWANI WANABAGULIWA KWENYE MASUALA YA AJIRA

Mkurugenzi wa shirika la kukabiliana na utumizi wa pombe haramau na dawa za kulevya nchini NACADA Fatuma Rashid amelalamikia ubaguzi dhidi ya vijana wa kanda ya pwani hasa kwenye masuala ya kazi. Akizungumza kwenye kaunti ya Mombasa Fatuma amesema hali hiyo imekuwa ikichangia kwa idadi kubwa ya vijana kujiingiza katika utumizi wa dawa za kulevya.

MADAI YAIBULIWA VIJANA WA PWANI WANABAGULIWA KWENYE MASUALA YA AJIRA Read More »