GAVANA WA KWALE AWATAKA MAAFISA WA POLISI KUTOINGILIA MASWALA YA ARDHI ENEO LA SHIMONI
Gavana wa Kwale Fatuma Achani amewataka maafisa wa polisi kwenye kaunti hiyo kutoingilia maswala ya umiliki wa ardhi eneo la Shimoni. Akizngumza katika eneo hilo, Achani anadai baadhi ya maafisa hao wamekuwa wakitumiwa visivyo na mabwenyenye kuwadhulumu wenyeji mashamba yao. Gavana huyo amemtaka kamishna wa kaunti ya Kwale Gideon Oyagi kuhakikisha maafisa wake hawajihusishi na […]
GAVANA WA KWALE AWATAKA MAAFISA WA POLISI KUTOINGILIA MASWALA YA ARDHI ENEO LA SHIMONI Read More »



