Janet Mumbi

FAMAU MOHAMMED FAMAU AMPONGEZA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO

Mwanaharakati wa kukabiliana na utumizi wa mihadarati kaunti ya Kilifi Famau Mohammed Famau amempongeza Rais William Samoei Ruto kwa kile anachokisema ameimarisha mikakati ya kukabiliana na ulanguzi wa dawa za kulevya eneo la Pwani na taifa la Kenya kwa jumla. Kulingana na Famau eneo la Pwani, ndilo lililoathirika zaidi na ulanguzi na hata utumizi wa […]

FAMAU MOHAMMED FAMAU AMPONGEZA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO Read More »

ZAIDI YA HATI MILIKI 700 ZAKABIDHIWA WENYEJI WA KAUNTI YA KILIFI

Mratibu wa kitaifa wa idara ya maendeleo ya miji na nyumba Peris Mangira amethibitisha kuwa zaidi ya hati miliki 700 zimekabidhiwa wenyeji wa Kaunti ya Kilifi kupitia mradi wa serikali wa kubadilisha maisha na makazi ya mitaa ya mabanda almaarufu KISIP. Peris Mangira amesema wamefanikiwa kutoa stakabadhi hati miliki 900 katika awamu ya kwanza huku

ZAIDI YA HATI MILIKI 700 ZAKABIDHIWA WENYEJI WA KAUNTI YA KILIFI Read More »

NTSA YAZINDUA TEKNOLOJIA INAYOTUMIA KAMERA ZA CCTV KUIMARISHA USALAMA BARABARANI

Halmashauri ya uchukuzi na usalama barabarani NTSA kwa ushirikiano na wadau katika sekta ya uchukuzi wamezindua teknolojia inayotumia kamera za CCTV kufuatilia usalama wa madereva barabarani na iwapo wanafuatilia kanuni zilizowekwa. Wakizungumza mjini Mombasa, NTSA imesema kuwa teknolojia hiyo inalenga madereva wa masafa marefu na kudai kuwa asilimia 85 ya ajali zinazoripotiwa nchini ni kutokana

NTSA YAZINDUA TEKNOLOJIA INAYOTUMIA KAMERA ZA CCTV KUIMARISHA USALAMA BARABARANI Read More »