Janet Mumbi

KINARA WA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA RAILA ODINGA AITAKA SERIKALI KUBATILI MSIMAMO WAKE KUHUSU GMO

Kiongozi wa upinzani, Raila Odinga ameitaka serikali kubatili agizo lake la kuruhusu chakula kinachozalishwa kijenetiki yani kisaki kuingizwa humu akisema kuwa GMO ni hatari sana kwa afya. Mbali na athari za kiafya, Raila amesema uwepo wa vyakula hivyo vya kijenetiki utapelekea wakulima wa humu nchini kukosa soko la mazao yao. Raila pia ametaka mashirika ya

KINARA WA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA RAILA ODINGA AITAKA SERIKALI KUBATILI MSIMAMO WAKE KUHUSU GMO Read More »