Janet Mumbi

RAILA ODINGA APUZILIA MBALI MGOGORO UNAOKUMA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA

Kinara wa azimio la umoja one kenya Raila Odinga amepuuzilia mbali mgogoro wa kisiasa unaokumba azimio la umoja kwa sasa huku akiwataka viongozi wa vyama tanzu kwenye muungano huo kujadili maswala ibuka wiki hii. Kwa mujibu wa Raila, cheche za maneno baina ya viongozi katika muungano huo wa azimio la umoja hazisaidii kustawisha upinzani huku […]

RAILA ODINGA APUZILIA MBALI MGOGORO UNAOKUMA AZIMIO LA UMOJA ONE KENYA Read More »

MIKAKATI YA KUTOSHA YA MAANDALIZI YA MTIHANI WA KITAIFA YAWEKWA TANA RIVER

Mkurugenzi wa elimu kaunti ya Tana River Khalif Hassan amesema mikakati ya kutosha imeweka kuhakikisha matayarisho ya kuandaliwa kwa mtihani wa kitaifa yanaendelea vyema bila changamoto zozote. Amesema jumla ya wanafunzi 17,166 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kitaifa kwenye kaunti hiyo wakiwemo wale wa darasa la 6 ambao watakuwa wanajiunga na shule za upili mwaka ujao

MIKAKATI YA KUTOSHA YA MAANDALIZI YA MTIHANI WA KITAIFA YAWEKWA TANA RIVER Read More »

MSHUKIWA MMOJA WA VISA VYA UVAMIZI ENEO LA KISAUNI ATIWA MBARONI

Kamishna wa kaunti ya Mombasa John Otieno amesema wamefanikiwa kumnasa mmoja wa washukiwa wa visa vya uvamizi katika eneo bunge la Kisauni. Kulingana na kamishna huyo mshukiwa huyo ambaye ni miongoni mwa wale ambao wanahusishwa na visa vya uvamizi ambavyo viliripotiwa kwenye eneo bunge hilo siku chache zilizopita, alinaswa kufuatia ushirikiano baina ya wenyeji na

MSHUKIWA MMOJA WA VISA VYA UVAMIZI ENEO LA KISAUNI ATIWA MBARONI Read More »