KAMISHNA WA KAUNTI YA LAMU AWATAKA WENYEJI KUWA NA SUBIRA
Kamishna wa kaunti ya Lamu Irungu Macharia amesema wenyeji wa kaunti hiyo wataendelea kusubiri kwa muda kabla ya kuruhusiwa kwa usafiri wa usiku kwenye barabara kuu ya Lamu – Witu – Garsen. Macharia amesema wanaendelea kujadiliana na vitengo husika wakiwemo maafisa wa usalama pamoja na wamiliki magari ya uchukuzi wa umma ili kuona ni lini […]
KAMISHNA WA KAUNTI YA LAMU AWATAKA WENYEJI KUWA NA SUBIRA Read More »

