Paps Mkare

MECHI YA YANGA KUCHEZWA KESHO KISA MASHINDANO YA UFUKWE

Mechi ya daraja la pili kitaifa ya Samburu Lions dhidi ya Yanga itachezwa kesho katika dimba la Alaskan mjini Malindi. Mechi hiyo ilifaa kuchezwa wikendi ilopita lakini ikalazimishwa kuahirishwa kutokana na Yanga fc waliokuwa wanashiriki katika mashuindano ya kitaifa ya Olimpiki za Ufukweni mjini Malindi katika kaunti ya Kilifi ambako Yanga inayoongozwa na mkufunzi Collins

MECHI YA YANGA KUCHEZWA KESHO KISA MASHINDANO YA UFUKWE Read More »