BARCA YASELELEA KILELENI MWA LALIGA
Klabu ya Barcelona sasa imerefusha pengo lao na nafasi ya pili katika ligi ya laliga hadi alama 12 baada ya kuichapa real Madrid mabao 2-1 katika mchezo wa el classic uliochezwa jana katika dimba la Camp Nou. Madrid walipata bao la kwanza kupitia beki wa Barcelona Ronald Araujo kujifunga lakini Sergio Roberto akasawazisha bao hilo […]
BARCA YASELELEA KILELENI MWA LALIGA Read More »



