RAIS WA RIADHA DUNIANI SEBASTIANO COE YUPO ZIARANI KENYA
Rais wa muungano wa riadha duniani Sebatian Coe yupo nchini Kenya kwa sasa baada ya kuwasili hapo jana kwa ziara ambapo analenga kufanya vikao na kamati ya riadha nchini Kenya Nock pamoja na waziri wa michezo Ababu Namwamba kwa lengo kuona jinsi gani riadha za Kenya zitaendeshwa kwa ubora zaidi. Rais huyo katika siku za […]
RAIS WA RIADHA DUNIANI SEBASTIANO COE YUPO ZIARANI KENYA Read More »



