Janet Mumbi

MAAFISA WA KWS NA WENYEJI WA TAITA TAVETA WAHIMIZWA KUKABILIANA NA UHASAMA WA MARA KWA MARA

Wito wa ushirikiano umetolewa baina ya maafisa wa shirika la huduma kwa wanyamapori KWS na wakaazi wa kaunti ya Taita Taveta kwa minajili ya kukabiliana na uhasama wa mara kwa mara kati ya wakaazi na wanyamapori. Kwa mujibu wa wakaazi wa maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo wakiwemo wale wa Kishushe, kaunti ndogo ya Wundanyi wamesema […]

MAAFISA WA KWS NA WENYEJI WA TAITA TAVETA WAHIMIZWA KUKABILIANA NA UHASAMA WA MARA KWA MARA Read More »

ASKARI 100 WA NPR KUONGEZWA KAUNTI YA LAMU

Waziri wa usalama wa ndani Prof. Kithure Kindiki ametangaza kubadili mfumo wa oparesheni ya kukabili wahalifu katika kaunti ya Lamu. Kindiki aliyezuru eneo hilo jana ambalo lililoshuhudia mashambulizi kadhaa majuma yaliyopita ameamuru kuajiriwa kwa askari 100 wa akiba NPR watakaokabidhiwa bunduki kudumisha usalama. Ujio wa Kindiki katika kaunti hiyo unajiri baada ya mashambulizi kadhaa yaliyosababisha

ASKARI 100 WA NPR KUONGEZWA KAUNTI YA LAMU Read More »

RAIS RUTO AELEZA MATUMAINI YA KUPUNGUA KWA GHARAMA YA UMEME NCHINI

Rais William Samoei Ruto amesema gharama ya juu ya umeme nchini itashughulikiwa baada ya wadau husika kufanya utathmini upya wa bei ya kawi kulingana na muda ambao umetengwa kisheria. Akizungumza jana akiwa kwenye ikulu ya Nairobi katika mahojiano na wanahabri, Rais Ruto amesema kwa sasa serikali inaendeleza mikakati kuhakikisha gharama ya umeme inapungua nchini ili

RAIS RUTO AELEZA MATUMAINI YA KUPUNGUA KWA GHARAMA YA UMEME NCHINI Read More »