OUSMAN GALOLE AITAKA BUNGE LA KAUNTI YA TANA RIVER KUFANYIA MAREKEBISHO MUSWADA WA GOVERNORS SCHOLARSHIP
Spika wa bunge la kaunti ya Tana River Ousman Galole ametoa wito kwa bunge la kaunti hiyo kufanyia marekebisho muswada wa GOVERNORS SCHOLARSHIP unaolenga kuwafadhili wanafunzi ambao wanatoka kwenye familia ambazo hazina uwezo wa kifedha. Katika taarifa yake kwa wenyeji akiwa kwenye kaunti hiyo ya Tana River, amesema bunge la kaunti ya Tana River linafaa […]



