ATWAA SALIM MOHAMED ASHINDA KIPUTE CHA UWAKILISHI WA WADI YA SHELLA
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kaunti ya Lamu kupitia afisa wa IEBC eneo bunge la Lamu Magharibi Isaiah Saha imemtangaza Atwaa Salim Mohamed wa chama cha ODM kuwa mshindi kwenye kipute cha uchaguzi mdogo cha kuwania wadhifa wa uwakilishi wa wadi ya Shella Kisiwani Amu kaunti ya Lamu. Kufikia jana saa nne […]
ATWAA SALIM MOHAMED ASHINDA KIPUTE CHA UWAKILISHI WA WADI YA SHELLA Read More »



