Janet Mumbi

ATWAA SALIM MOHAMED ASHINDA KIPUTE CHA UWAKILISHI WA WADI YA SHELLA

Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kaunti ya Lamu kupitia afisa wa IEBC eneo bunge la Lamu Magharibi Isaiah Saha imemtangaza Atwaa Salim Mohamed wa chama cha ODM kuwa mshindi kwenye kipute cha uchaguzi mdogo cha kuwania wadhifa wa uwakilishi wa wadi ya Shella Kisiwani Amu kaunti ya Lamu. Kufikia jana saa nne […]

ATWAA SALIM MOHAMED ASHINDA KIPUTE CHA UWAKILISHI WA WADI YA SHELLA Read More »

MKUFUNZI RIMBA WA BOSUSTER APONGEZA FKF KWA MIPANGO MIZURI YA LIGI YA MSIMU UJAO

Mkufunzi wa Bosuster fc klabu ambayo inashikilia ubingwa wa shindano la soka la Haki Yetu eneo bunge la Magarini Kaunti ya Kilifi bwana Kenedy Rimba anasema kikosi chake kiko imara kwa msimu ujao wa ligi ya magarini msimu wa 2022/2023 msimu ambayo unatarajiwa kuanza rasmi majuma mawili yajayo. Rimba ambaye vijana wake wametinga fainali za

MKUFUNZI RIMBA WA BOSUSTER APONGEZA FKF KWA MIPANGO MIZURI YA LIGI YA MSIMU UJAO Read More »

RUTO AMUAHIDI RAIS SEBASTIAN COE KUPIGA VITA UKOSEFU WA MAADILI KATIKA RIADHA

Rais William Ruto leo ameuhakikishia muungano wa riadha duniani kwamba serikali yae inalenga kushinda vita dhidi ya matumizi ya dawa za kututumua misuli atika lengo la kuimarisha uadilifu wa wanariadha atika mashindano mbalimbali ya ndani ya nchi na kimataifa. Ruto ambaye amekutana na rais wa riadha za dunia Sebastian Coe katika ikulu ya Nairrobi ameahidi

RUTO AMUAHIDI RAIS SEBASTIAN COE KUPIGA VITA UKOSEFU WA MAADILI KATIKA RIADHA Read More »