Odegaard na Mikel Arteta washinda tuzo za mwezi Disemba Uingereza
Martin Odegaard kiungo anayechezea klabu ya Arsenal amewapiku nyota wanane wa ligi kuu nchini uingereza na kushinda tuzo ya mchezaji bora mwezi November na December mwaka jana. Odegaard alishinda kura nyingi za mashabiki na kushinda tuzo hiyo baada ya kufunga mabao 3 na kusaidia ufungaji wa mabao 3 yaliosaidia Arsenal kufanya vyema katika ligi kuu […]
Odegaard na Mikel Arteta washinda tuzo za mwezi Disemba Uingereza Read More »



