MWALIMU MKUU WA SHULE YA UPILI YA MUYEYE MJINI MALINDI ALALAMIKIA ONGEZEKO LA IDADI YA WANAFUNZI WANAOTUMIA MIHADARATI
Mwalimu mkuu wa shule ya upili ya Muyeye mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Francis Kazungu amelalamikia ongezeko la idadi ya wanafunzi wanaotumia dawa za kulevya shuleni humo. Kulingana na mwalimu huyo, wanafunzi wengi wamekuwa wakiingiza dawa hizo za kulevya shuleni humo kutokana na kile ambacho anasema kuchangiwa na ukosefu wa uzio mzuri. Akizungumza katika kikao […]



