GUARDIOLA ANAIMANI YA KUTETEA UBINGWA
Mkufunzi mkuu wa klabu ya Manchester city Pep Guardiola amesema John Stones atakosekana kwa mechi ya usiku wa leo huku akisema Ruben Dias amezidi kuimarika na huenda akashiriki katika mechi ya leo dhidi ya Totenham Hotspers katika dimba la Etihad. Mkufunzi huyo amesema wachezaji wake bado wanauwezo wa kutetea ubingwa wa ligi licha ya kuwa […]
GUARDIOLA ANAIMANI YA KUTETEA UBINGWA Read More »



