Janet Mumbi

VIJANA WENGI KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSUSIA KUJIUNGA NA TAASISI ZA ELIMU ZILIZOKO KWENYE KAUNTI HIYO

Mbunge wa Voi kaunti ya Taita Taveta Abdi Chome amesema wamebaini sababu zinazosababisha vijana wengi kususia kujiunga na taasisi za elimu zilizo katika kaunti hiyo. Chome amesema sababu mojawapo ni kwamba vijana wengi wanapania kujiunga na vyuo vya nje ya kaunti hiyo kutokana na swala kuwa masomo yao ya shule za msingi na sekondari walikuwa […]

VIJANA WENGI KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSUSIA KUJIUNGA NA TAASISI ZA ELIMU ZILIZOKO KWENYE KAUNTI HIYO Read More »

HARAKATI ZA KUWASAKA WANAFUNZI WATAKAODINDA KUREJEA SHULENI WIKI IJAYO KUANZISHWA MALINDI

Naibu chifu wa Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Nicodemus Mwayele amesema kuwa wanalenga kuanzisha msako dhidi ya wanafunzi watakaokosa kurudi shule juma lijalo. Kwa mujibu wa Mwayele, tayari wamekamilisha vikao vya kuweka mikakati ya jinsi watakavyotekeleza shughuli hiyo kwa ushirikiano na wazee wa mitaa, waliokatika maeneo mbalimbali ya eneo bunge la Malindi. Akizungumza na

HARAKATI ZA KUWASAKA WANAFUNZI WATAKAODINDA KUREJEA SHULENI WIKI IJAYO KUANZISHWA MALINDI Read More »

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ASEMA KUNA HAJA YA WAKULIMA WA KAKUYUNI KUWEZESHWA

Ipo haja ya wakulima katika wadi ya Kakuyuni eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi kuwezeshwa, ili kuhakikisha wanapata mazao bora katika mashamba yao. Ni kauli ya mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi, Amina Mnyazi ambaye amesema matatizo mengi katika eneo hilo, yatapata suluhu iwapo wananchi watakuwa na vyakula vya kutosha kutokana na kilimo wanachofanya.

MBUNGE WA MALINDI AMINA MNYAZI ASEMA KUNA HAJA YA WAKULIMA WA KAKUYUNI KUWEZESHWA Read More »