Janet Mumbi

MCHUNGAJI SAMWEL MATIKO ATILIA SHAKA TAKWIMU KUTOKA SHIRIKA LA KITAIFA LA UTAFITI

Mchungaji wa kanisa la Ocean Assemblies  mjini Malindi kaunti ya Kilifi Samuel Matiko, ametilia shaka takwimu za shirika la utafiti la KENYA BUREAU OF STATISCS, kuhusiana na ongezeko la idadi ya watu wanaoshiriki ngono nje ya ndoa. Akizungumza na mwanahabari wetu mchungaji huyo amesema kuwa licha ya kuwepo kwa visa hivyo, huenda ikawa utafiti huo […]

MCHUNGAJI SAMWEL MATIKO ATILIA SHAKA TAKWIMU KUTOKA SHIRIKA LA KITAIFA LA UTAFITI Read More »

SIONDOKI LIVERPOOL HIVI KARIBUNI – KLOPP

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Liverpool Jurgen Klopp amesema hana mpango wa kuondoka klabu hiyo kwa hivi sasa pamoja na kwamba timu hiyo imekuwa haifanyi vizuri. Kocha huyo raia wa Ujerumani amesema anaweza kuondoka tu Liverpool kama atalazimishwa kufanywa hivyo lakini vinginevyo hana huo mpango. Maneno hayo yanatokea kwenye kipindi ambacho Liverpool wanashika nafasi ya

SIONDOKI LIVERPOOL HIVI KARIBUNI – KLOPP Read More »

VILABU VINNE VYA SOKA MAGARINI VYATIMBA LIGI YA KAUNTI

Vilabu vinne vya soka eneo bunge la Magarini  vimepanda daraja hadi ligi ya kaunti ya Kilifi baada ya kuandikisha matokeo mazuri msimu uliopita. Klabu ya Lubumbashy ambayo ilishinda ubingwa wa mashindano ya Mini League mwaka jana, klabu ya Evergreen, Wakala City lakini pia Danforce ya Marafa ndio klabu zilizoingia katika ligi ya kaunti. Kulingana na

VILABU VINNE VYA SOKA MAGARINI VYATIMBA LIGI YA KAUNTI Read More »