FKF KUPEANA MAFUNZO YA SOKA KWALE KABLA MSIMU MPYA KUANZA
Hamisi Mwakoja ambaye ni mwenyekiti wa shirikisho la soka kaunti ya Kwale anasema ligi ya kaunti hiyo itaanza rasmi mwezi February mwaka huu katika msimu wa mwaka 2022/2023. Kwa sasa matayarisho ya msimu huo yanaendelea na shirikisho la soka linalenga kufanya kikao na wakuu wa vilabu tarehe 26 mwezi huu ili kupanga mikakati ya kuendesha […]
FKF KUPEANA MAFUNZO YA SOKA KWALE KABLA MSIMU MPYA KUANZA Read More »



