Janet Mumbi

JAMII WA WABAJUNI KAUNTI YA MOMBASA WAMPONGEZA GAVANA ABDULSWAMAD SHARIFF NASSIR

Siku chache baada ya gavana wa kaunti ya Mombasa Abdhulswamad Shariff Nassir kutangaza baraza lake la mawaziri, jamii ya wabajuni katika kaunti hiyo imempongeza Gavana huyo kwa kumteua Daktari Mbwarali Kame Mborali kama waziri wa elimu wa elimu na masuala ya kidigitali. Wakiongozwa na mzee wa jamii hiyo kaunti ya Mombasa Omar Shariff, wanasema wako […]

JAMII WA WABAJUNI KAUNTI YA MOMBASA WAMPONGEZA GAVANA ABDULSWAMAD SHARIFF NASSIR Read More »

JUMLA YA WANAFUNZI 16 WALIOKAMILISHA DARASA LA 8 KAUNTI YA KWALE KUNUFAIKA NA UFADHILI WA MASOMO YA WINGS TO FLY

Jumla ya wanafunzi 16 waliokamilisha darasa la 8 mwaka jana kaunti ya Kwale ni miongoni mwa wanafunzi 1000 nchini waliofaidika na ufadhili wa masomo ya WINGS TO FLY kutoka kwa benki ya Equity mwaka huu wa 2023. Kulingana na Jacob Akida ambaye mkurugenzi wa benki hiyo tawi la kaunti ya Kwale amesema wanafunzi hao waliopata

JUMLA YA WANAFUNZI 16 WALIOKAMILISHA DARASA LA 8 KAUNTI YA KWALE KUNUFAIKA NA UFADHILI WA MASOMO YA WINGS TO FLY Read More »