ARSENAL YABASHIRIWA KUSHINDA LIGI, NEWCASTLE IKIMALIZA NNE BORA
Klabu ya Arsenal imebashiriwa kushinda ligi ya msimu huu wa mwaka 2022/2023 na Supercomputer za kampuni ya FiveThirtyEight. Hii ni baada ya mabingwa watetezi Manchester City kupoteza mechi yao ya ligi wikendi ilopita dhidi ya Manchester United kwa kichapo cha mabao 2-1 huku viongozi wa ligi hiyo Arsenal kushinda mechi yao dhidi ya Tottenham Hotspers […]
ARSENAL YABASHIRIWA KUSHINDA LIGI, NEWCASTLE IKIMALIZA NNE BORA Read More »



