Paps Mkare

VIONGOZI WA KILIFI WASHAURIWA KUJENGA VIWANJA

Mkufunzi mkuu wa klabu ya Malindi Progressive Elly Katana  anasema ukosefu wa viwanja katika kaunti ya Kilifi ni changamoto kubwa inayokumba sekta ya michezo. Akizungumza na Tama La spoti  mjini malindi Elly Katana amehoji kwamba kwa sasa viwanja vingi vinamilikiwa na watu binafsi jambo ambalo linakatisha tamaa wachezaji pindi tu wamiliki wa viwanja hivyo wanapovichukua. […]

VIONGOZI WA KILIFI WASHAURIWA KUJENGA VIWANJA Read More »

JOHN MRUTTU ASEMA MZOZO KUHUSU MIPAKA KATI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA NA ZILE ZINAZOPAKANA NA KAUNTI HIYO UNAPASWA KUTATULIWA KISHERIA

Aliyekuwa gavana wa kwanza wa kaunti ya Taita Taveta John Mruttu amesema mzozo kuhusiana na mipaka kati ya kaunti hiyo na zile zinazopakana na Taita Taveta utapata mwafaka kupitia sheria na sio mivutano. Mruttu amesema migogoro hiyo inakumba mipaka ya kaunti ya Taita Taveta, Kajiado, Kwale na Makueni itapata mwafaka iwapo viongozi wa kaunti hizo

JOHN MRUTTU ASEMA MZOZO KUHUSU MIPAKA KATI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA NA ZILE ZINAZOPAKANA NA KAUNTI HIYO UNAPASWA KUTATULIWA KISHERIA Read More »