SERIKALI NA MASHIRIKA MBALIMBALI YATAKIWA KUSAIDIA KATIKA KUTOA CHAKULA CHA MSAADA KAUNTI YA TANA RIVER
Mkurugenzi wa shirika la Msalaba mwekundu kaunti ya Tana River Gerald Bombe ametoa wito kwa mashirika mbalimbali pamoja na serikali kusaidia katika kutoa chakula cha msaada kwa wananchi ambao wanaendelea kuathirika na baa la njaa nchini. Bombe amesema zaidi ya wenyeji laki moja katika kaunti ya Tana River waliathirika na baa la njaa kufikia mwishoni […]



