Paps Mkare

MASHABIKI WA MALINDI WAMEANZA KUSTAARABIKA – BERNARD LUSI

Nahodha wa klabu ya Malindi Progressive Bernard Lusi ameeleza kufurahishwa na mashabiki wa malindi kwa kuonyesha ustaarabu kwenye mechi kwa sasa tofauti na zamani ambapo katika mechi za dabi za eneo bunge la malindi kumekuwa kukishuhudiwa vurugu. Alikuwa akiyasema hayo baada ya mechi ya jana ambapo Malindi Progressive walipoteza kwa kichapo cha mabao 2-1 ugenini […]

MASHABIKI WA MALINDI WAMEANZA KUSTAARABIKA – BERNARD LUSI Read More »

VISA VYA UKEKETAJI VINGALI VINAENDELEZWA KWENYE KAUNTI YA LAMU

Afisa wa nyanjani wa shirika la kijamii la KIUNGA YOUTH BUNGE kaunti ya Lamu Moses Maina amethibitisha kuwa wameanzisha kampeni dhidi ya ukeketaji katika sehemu za mashinani kaunti ya Lamu. Maina amesema wamechukua hatua hiyo kutokana na kile ambacho anadai kuchangiwa na ongezeko la visa vya ukeketaji na dhuluma za kijinsia katika kaunti hiyo. Aidha,

VISA VYA UKEKETAJI VINGALI VINAENDELEZWA KWENYE KAUNTI YA LAMU Read More »