Janet Mumbi

PAUL KATANA AITAKA TUME YA POLISI NCHINI KUWAHAMISHA BAADHI YA MAAFISA WA POLISI WALIOHUDUMU KWA MIAKA MINGI ENEO LA KALOLENI

Mbunge wa Kaloleni kaunti ya Kilifi Paul Katana ameitaka tume ya huduma za polisi nchini kuwahamisha baadhi ya maafisa wa polisi ambao wamehudumu kwa miaka mingi katika eneo bunge hilo la Kaloleni. Kulingana na Katana uhasama ambao umekuwa ukidhiirika kati ya maafisa wa polisi na wenyeji umechangiwa na maafisa hao. Kutokana na hilo sasa ameahidi […]

PAUL KATANA AITAKA TUME YA POLISI NCHINI KUWAHAMISHA BAADHI YA MAAFISA WA POLISI WALIOHUDUMU KWA MIAKA MINGI ENEO LA KALOLENI Read More »

HIMIZO LATOLEWA KWA WENYEJI WA GANDA KAUNTI YA KILIFI KUTAFUTA MAENEO MAALUMU YA MIRADI YA SERIKALI KUTEKELEZWA

Naibu chifu wa eneo la Ganda kaunti ya Kilifi Ann Ziro amewahimiza wenyeji kutafuta maeneo maalum na ya yaliyosalama kwa miradi ya umma ambayo inapendekezwa kutekelezwa na serikali. Ann Ziro amesema ni kupitia hatua hiyo ambapo miradi hiyo inatekelezwa kwa haraka ili kuwanufaisha wenyeji wa eneo hilo. Akizungumza katika eneo hilo la Ganda kwenye kikao

HIMIZO LATOLEWA KWA WENYEJI WA GANDA KAUNTI YA KILIFI KUTAFUTA MAENEO MAALUMU YA MIRADI YA SERIKALI KUTEKELEZWA Read More »

BENJAMIN DALU TAYARI ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA KPA

Aliyekuwa mbunge wa eneo bunge la Kinango kaunti ya Kwale Benjamin Dalu Tayari ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya bandarini nchini KPA. Katika taarifa kwenye gazeti rasmi la serikali waziri wa barabara na uchukuzi nchini Kipchumba Murkomen amemteua Benjamini Dalu Tayari kwenye wadhifa huo kwa muda wa miaka 3. Anachukua wadhifa

BENJAMIN DALU TAYARI ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA KPA Read More »