MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE KCSE KUTANGAZWA LEO
Waziri wa elimu nchini Ezekiel Machogu anatarajiwa leo kutangaza rasmi matokeo ya mtihani wa kitaifa wa kidato cha nne KCSE. Kulingana na taarifa hafla ya kuyatangaza matokeo hayo imeratibiwa kuanza mwendo huu wa saa mbili asubuhi katika makao makuu ya baraza la kitaifa la mitihani KNEC jijini Nairobi. Zoezi la kusahisisha ilitamatika wiki jana baada […]
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE KCSE KUTANGAZWA LEO Read More »



