Janet Mumbi

JOHN MTUTTA MRUTTU APINGA MADAI KUWA ALIFELI WAKATI WA UONGOZI WAKE KAMA GAVANA WA TAITA TAVETA

Aliyekuwa gavana wa kwanza katika kaunti ya Taita Taveta John Mtutta Mruttu amepinga madai kuwa serikali ya kaunti ya Taita Taveta wakati wa uongozi wake ilifeli katika zoezi la ukusanyaji wa ushuru katika masoko yaliyomo mpakani mwa kaunti hiyo ya Taita Taveta na kaunti nyinginezo. Mruttu amesema utata wa mipaka baina ya kaunti ya Taita […]

JOHN MTUTTA MRUTTU APINGA MADAI KUWA ALIFELI WAKATI WA UONGOZI WAKE KAMA GAVANA WA TAITA TAVETA Read More »

WANAOJIUNGA NA SHULE ZA UPILI WATAKIWA KUTOCHAPISHA FOMU KUHUSIANA NA SHULE WANAZOPASWA KUJIUNGA NAZO KAMA HAWARIDHISHWA

Wazazi wa wanafunzi wanaopaswa kujiunga na shule za upili mwaka huu wa 2023 wametakiwa kutochapisha fomu zilizo na taarifa kuhusiana na shule wanazopaswa kujiunga nazo, iwapo hawana uwezo ama hawajaridhishwa na taasisi hizo na badala yake waziwasilishe katika afisi za elimu kwenye maeneo yao. Haya ni kwa mujibu wa katibu wa muungano wa walimu wa

WANAOJIUNGA NA SHULE ZA UPILI WATAKIWA KUTOCHAPISHA FOMU KUHUSIANA NA SHULE WANAZOPASWA KUJIUNGA NAZO KAMA HAWARIDHISHWA Read More »

TAKRIBANI MICHE 500 INATARAJIWA KUPANDWA KWENYE SHAMBA LA AKAMBA HANDCRAFT KAUNTI YA MOMBASA

Mwakilishi wa wadi ya kipevu kaunti ya Mombasa Leila Nyache ameshirikiana na machifu, wazee wa mitaa na mabalozi wa nyumba kumi kwenye zoezi la upanzi wa miti ndani ya shamba la AKAMBA HANDCRAFT eneo bunge la changamwe kaunti hiyo ya Mombasa. Akiongea na wanahabari wakati wa zoezi hilo leila amesema wanapania  kupanda miti mia tano

TAKRIBANI MICHE 500 INATARAJIWA KUPANDWA KWENYE SHAMBA LA AKAMBA HANDCRAFT KAUNTI YA MOMBASA Read More »