WITO WATOLEWA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KIKIWEZESHA KIFEDHA KITUO CHA KUSAMBAZA MAJI YA KAMBICHA
Afisa msimamizi wa kituo cha usambazaji maji cha Kambicha, Magarini kaunti ya Kilifi Rajab Kazungu amesisitiza haja ya serikali ya kaunti ya Kilifi kukiwezesha kifedha kituo hicho. Kazungu amesema kuwa hatua hiyo itawawezesha kugharamia ada za nguvu za umeme sawia na kulipa wafanyikazi kwenye kituo hicho mbali na kuboresha huduma za usambazaji maji katika eneo […]



