Janet Mumbi

SERIKALI KUU YATAKIWA KUHIFADHI ARDHI ZOTE ZENYE UTATA KAUNTI YA LAMU

Wanaharakati wa maswala ya kijamii kaunti ya Lamu wameitaka serikali ya kitaifa kuhifadhi ardhi zote zinazokumbwa na utata wa umiliki katika kaunti hiyo. Wakiongozwa na Abdulwahid Mohamed, wanaharakati hao wamesema kuwa sehemu kubwa ya ardhi katika wadi ya Mkunumbi imegubikwa na kesi zilizowasilishwa mahakamani. Kufuatia hilo, Abdulwahid ameshinikiza serikali kutoa uhifadhi wa ardhi zote zenye

SERIKALI KUU YATAKIWA KUHIFADHI ARDHI ZOTE ZENYE UTATA KAUNTI YA LAMU Read More »

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI

Asilimia kubwa ya vijana kaunti ya Taita Taveta hukosa kujiunga na vyuo vikuu na vyuo kiufundi baada ya kukamilisha kidato cha nne. Haya ni kwa mujibu wa naibu gavana kaunti hiyo Christine Kilalo ambaye amesema kuwa idadi hiyo kubwa hushindwa kujiendeleza kimasomo kufuatia ukosefu wa karo. Kilalo sasa amewashauri vijana hao waliomaliza kidato cha nne

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI Read More »