GOR MAHIA YAMUOMBA RAILA KUAHIRISHA MKUTANO WAKE WA KAMUKUNJI
Klabu ya Gor Mahia imemwandikia kinara wa muunganno wa Azimio One Kenya Raila Odinga kumuomba kubatilisha ratiba ya mkutano wake katika uwanja wa Kamukunji jijini Nairobi siku ya jumapili wakihoji kwamba mkutano huo utagongana na ratiba ya mashemeji dabi . Gor mahia wanatarajiwa kushuka dimbani dhidi ya mahasimu wao wa jadi AFC leopards jumapili dimbani […]
GOR MAHIA YAMUOMBA RAILA KUAHIRISHA MKUTANO WAKE WA KAMUKUNJI Read More »



