Paps Mkare

GOR MAHIA YAMUOMBA RAILA KUAHIRISHA MKUTANO WAKE WA KAMUKUNJI

Klabu ya Gor Mahia imemwandikia kinara wa muunganno wa Azimio One Kenya Raila Odinga kumuomba kubatilisha ratiba ya mkutano wake katika uwanja wa Kamukunji jijini Nairobi siku ya jumapili wakihoji kwamba mkutano huo utagongana na ratiba ya mashemeji dabi . Gor mahia wanatarajiwa kushuka dimbani dhidi ya mahasimu wao wa jadi AFC leopards jumapili dimbani […]

GOR MAHIA YAMUOMBA RAILA KUAHIRISHA MKUTANO WAKE WA KAMUKUNJI Read More »

GAVANA MUNG’ARO ASEMA ATASHIRIKIANA NA SERIKALI KUU KUIMARISH SEKTA YA UVUVI

Serikali ya kaunti ya Kilifi itaendelea kushirikiana na serikali ya kitaifa ili kuinua sekta ya uvuvi na uchumi wa raslimali za baharini kwa kuanzisha na kuendeleza miradi itakayosaidia kuboresha maisha ya wakaazi. Haya ni kulingana na Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro ambaye amesema kuwa ujenzi wa makao makuu ya sekta hizo utafanyika katika

GAVANA MUNG’ARO ASEMA ATASHIRIKIANA NA SERIKALI KUU KUIMARISH SEKTA YA UVUVI Read More »

MWENYEKITI WA KAMATI YA CDF MALINDI AWATAKA WENYEJI KUTOHOFU LOLOTE

Wakaazi wa eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi wametakiwa kutokuwa na hofu kuhusiana na utendakazi wa kamati ya CDF, katika afisi ya mbunge wa Malindi, Amina Mnyazi. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kamati hiyo Sammy Kazungu kamati hiyo inawakilisha kila jinsia na umri jambo ambalo amesema linasaidia kuhakikisha kila mmoja anajumuishwa katika kamati hiyo.

MWENYEKITI WA KAMATI YA CDF MALINDI AWATAKA WENYEJI KUTOHOFU LOLOTE Read More »