GAVANA ACHANI AZINDUA RASMI UJENZI WA MRADI WA MASHINE YA KUCHUJA MAJI
Gavana wa kaunti ya kwale Fatuma Achani amezindua rasmi ujenzi wa mradi wa mashini ya kuchuja maji katika hospitali ya rufaa ya Msambweni. Mradi huo unatarajiwa kuzalisha zaidi ya lita 5000 za maji yanayochujwa kwa kila saa moja, maji ambayo yanatarajiwa kusaidia kuendesha shughuli za hospitali hiyo bila kukwama. Vitengo ambavyo vinatarajiwa kunufaika na matumizi […]
GAVANA ACHANI AZINDUA RASMI UJENZI WA MRADI WA MASHINE YA KUCHUJA MAJI Read More »



