Paps Mkare

SERIKALI YA KILIFI YALENGA KUJENGA KIWANJA CHA KISASA

Serikali ya kaunti ya Kilifi inalenga kujenga kiwanja cha kimataifa kama njia moja ya kuwezesha talanta na michezo mashinani. Naibu gavana wa kaunti hii Florence Chibule akiwa katika mahojiano na mwanahabari wetu hapa Lulu Fm amethibitisha kwamba serikali inayoongozwa na gavana Gideon Maitha Mungaro inalenga kuanza mradi wa ujenzi wa kiwanja cha kisasa kama njia […]

SERIKALI YA KILIFI YALENGA KUJENGA KIWANJA CHA KISASA Read More »

BAADHI YA MABAHARIA ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WAENDELELEA KUHANGAIKA

Licha ya jamii eneo la Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi kuchangia pakubwa katika upatikanaji wa ushuru wa kitaifa kupitia kwa raslimali za baharini, baadhi ya mabaharia eneo hilo la Shella wameendelea kupitia changamoto nyingi katika maisha yao. Haya ni kwa mujibu wa mwakilishi wa wadi ya Shella mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Twahir Abdulkarim

BAADHI YA MABAHARIA ENEO LA SHELLA MJINI MALINDI WAENDELELEA KUHANGAIKA Read More »

BAADHI YA WAKAZI WA KILIFI MJINI WASEMA MTAALA WA CBC ULIPASWA KUPIGWA MSASA KABLA YA KUTEKELEZWA

Baadhi ya wazazi Kilifi Mjini kaunti ya Kilifi  wamelalamika kuwa mtaala wa umilisi wa CBC bado ulipaswa kuangaziwa kwa kina kabla ya kutekelezwa. Wazazi hao wamesema kuwa serikali haijajipanga kufanikisha mtaala huu hasa katika shule za mashinani kwani bado zina miundo msingi duni. Kufuatia hilo wazazi hao wanahofia kuwa huenda kukawa na wingi wa changamoto

BAADHI YA WAKAZI WA KILIFI MJINI WASEMA MTAALA WA CBC ULIPASWA KUPIGWA MSASA KABLA YA KUTEKELEZWA Read More »