Uncategorized

FAITH KIPYEGON APEWA HESHIMA YA EGH NA RAIS WILLIAM RUTO

Mwanariadha Faith Kipyegon ambaye  ameingia katika rekodi za dunia kuwa mwanariadha bora wa mwaka huu katika tuzo zilizofanyika jijini Monaco Ufaransa na kuwa mwanariadha wa kwanza wa kike kutoka hapa nchini kushinda tuzo hilo ameeleza kufurahishwa na matunda ya bidii alofanya mwaka huu katika mashindano mbalimbali. ”Kwa kweli nasikia furaha sana kwa umbali huu. Najivunia

FAITH KIPYEGON APEWA HESHIMA YA EGH NA RAIS WILLIAM RUTO Read More »

TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA CAF KUFANYIKA USIKU WA LEO

Tuzo za mchezaji bora wa soka zinatarajiwa kufanyika usiku wa leo (Jumatatu) katika ukumbi wa Palais des Congrès in Marrakech, Morocco na kwa wakati mwengine zimevutia washindani wakali. Victor Osemhen mchezaji raia wa Nigeria pamoja na klabu ya Napoli kule Italia ambaye msimu jana aliisaidia klabu yake kushinda ubingwa wa taji hilo baada ya miaka

TUZO ZA MCHEZAJI BORA WA CAF KUFANYIKA USIKU WA LEO Read More »