SHIMANZI FC NA ZIWANI YOUTH TUTAMBAMBANA KISHERIA – COLLINS OMOL
Meneja wa klabu ya Yanga FC Collins Omol klabu inayoshiriki ligi ya daraja la nne kitaifa la fkf kutoka Malindi kaunti ya Kilifi amekanusha madai ya vilabu vya Shimanzi na Ziwani Youth kuwa mechi ambazo hawakucheza na Yanga watapewa alama za bwerere kwa sababu klabu hiyo ilishindwa kuheshimu ratiba. Kulinga na Omol ambaye amezungumza na […]
SHIMANZI FC NA ZIWANI YOUTH TUTAMBAMBANA KISHERIA – COLLINS OMOL Read More »



