SPIKA WA BUNGE LA SENETI AMASON KINGI ATAKIWA KUTEKELEZA HAKI NA USAWA.
Spika wa bunge wa seneti nchini Amason Kingi, amewahakikishia viongozi wa bunge hilo haki na usawa, katika kuendeleza majukumu yake ndani ya bunge hilo. Hii ni baada ya maseneta kulalamikia suala la spika huyo, kuegemea upande mmoja wakati anapofanya maamuzi, ama hata kuendesha vikao vya bunge hilo. Akizungumza katika kikao maalumu cha viongozi wa bunge […]
SPIKA WA BUNGE LA SENETI AMASON KINGI ATAKIWA KUTEKELEZA HAKI NA USAWA. Read More »



