MWANAHABARI LEONARD MAMBO MBOTE AAGA DUNIA.
Mwanahabari mkongwe Leonard Mambo Mbotela ameaga dunia. Binti yake Anne Mbotela amethibitisha kifo chake. Mwanahabari huyo mkongwe amekuwa akiugua kwa muda na ameaga mwendo wa saa 9:30 asubuhi leo Ijumaa. Mbotela ni mumewe Alice Mwikali, na kwa pamoja walipata watoto watatu Aida Mbotela, Jimmy Mbotela na George Mbotela. Mwanahabari huyo mahiri alisifika kwa kipindi chake […]
MWANAHABARI LEONARD MAMBO MBOTE AAGA DUNIA. Read More »



