HABARI

MAMLAKA YA CDA ENEO LA PWANI YAZINDUA UJENZI WA VYUMBA ZAIDI VYA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MALINDI KAUNTI YA KILIFI.

Huduma za afya katika kaunti tatu za pwani zinatarajiwa kuimarika katika siku za usoni, baada ya mamlaka ya maendeleo eneo la pwani CDA, kuzindua ujenzi wa vyumba vya wagonjwa, wanaohitaji huduma maalum katika hospitali ya Malindi kaunti ya Kilifi. Akizungumza baada ya uzinduzi huo, mwenyekiti wa mamlaka hiyo Mzee Mwinyi Mzee, anasema mradi huo unaotekelezwa

MAMLAKA YA CDA ENEO LA PWANI YAZINDUA UJENZI WA VYUMBA ZAIDI VYA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA MALINDI KAUNTI YA KILIFI. Read More »

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUPUNGUZA IDADI YA KAMPUNI ZA VILEO.

Naibu mwenyekiti wa baraza la magavana nchini Mutahi kahiga, ameitaka serikali kuu kupunguza kampuni zilizoidhinishwa kutengeza vileo nchini, ili kuzipiga jeki juhudi za serikali za kaunti, kupambana unywaji wa pombe haramu. Kwa mujibu wa Kahiga, ambaye pia ni gavana wa kaunti ya Nyeri, kumekuwa na ongezeko la idadi ya kampuni zinazouza pombe, licha yake kutoidhinishwa

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUPUNGUZA IDADI YA KAMPUNI ZA VILEO. Read More »