HABARI

BARAZA LA VIJANA NCHINI LATENGEWA FEDHA ZA KUFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAKE.

Baraza la kitaifa la vijana (NYC) liko huru kuandaa uchaguzi wake wa kitaifa ambao umekwama kwa muda mrefu. Hii ni baada ya Bazara la Mawaziri siku ya Jumanne, kuidhinisha kutolewa kwa shilingi milioni 165, zinazohitajika ili kufanisha uchaguzi huo. Waziri wa Masuala ya Vijana Salim Mvurya, amefichua kuwa hatimaye uchaguzi huo, ambao umekwama tangu mwaka […]

BARAZA LA VIJANA NCHINI LATENGEWA FEDHA ZA KUFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAKE. Read More »

WATU ZAIDI WABAINIKA KUENDELEZA IMANI POTOFU YA MUHUBIRI TATA PAUL MACKENZIE

Makaburi mengine manne yamepatikana katika kijiji cha Binzaro, kaunti ya Kilifi. Matukio hayo yamezua taharuki huku polisi na wakazi wakihofia kuwa huenda wafuasi zaidi wa dhehebu potovu katika eneo hilo wamefariki. Wizara ya usalama inasema kuwa imetibua kuenea kwa dhehebu hilo ambalo linakisiwa kuandamana na mafunzo ya itikadi kali kama ilivyoshuhudiwa katika msitu wa Shakahola

WATU ZAIDI WABAINIKA KUENDELEZA IMANI POTOFU YA MUHUBIRI TATA PAUL MACKENZIE Read More »

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUONGEZEA IDARA YA MAHAKAMA MGAO WA FEDHA KWENYE BAJETI.

Kuna umuhimu wa idara ya mahakama kuongezewa mgao wa fedha katika bajeti yake ya kila mwaka. Haya ni kulingana na mbunge wa Jomvu kaunti ya Mombasa, Badi Twalib ambaye amesema kuongezwa kwa fedha hizo, kutasaidia idara ya mahakama kuboresha utendakazi wake kwa wananchi. Twalib ameelezea kuwa ukosefu wa fedha za kutosha katika idara hiyo, husababisha

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUONGEZEA IDARA YA MAHAKAMA MGAO WA FEDHA KWENYE BAJETI. Read More »